Wizara ya Sayansi na Teknolojia imetuma barua kwa serikali ya mkoa wa Guangdong kuunga mkono Guangzhou katika kujenga eneo la majaribio la kitaifa kwa ajili ya uvumbuzi na maendeleo ya akili bandia ya kizazi kijacho. Barua hiyo ilionyesha kwamba ujenzi wa eneo la majaribio unapaswa kuzingatia...